SEKTA YA MAJI
TAARIFA YA MIRADI YA MAJI MKOA WA MOROGORO
Hali ya Huduma ya Maji Vijijini
Hadi kufikia mwezi Januari, 2019 asilimia 68.87 ya wakazi waishio Vijijini katika Mkoa wa Morogoro wanapata huduma ya majisafi na salama kupitia miradi ya maji iliyopo, ambapo utekelezaji wa Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji nchini umewezesha ujenzi wa jumla ya miradi 69 katika vijiji 95. Miradi 52 katika vijiji 68 imekamilika na miradi 17 katika vijiji 27 utekelezaji wake unaendelea katika Halmashauri za Morogoro Manispaa (1), Malinyi (1), Kilosa (1), Mvomero (6), Ulanga (1), Morogoro Vijijini (2), Ifakara (2), na Gairo (3).
Hali ya upatikanaji wa huduma ya maji katika kila Wilaya kwa maeneo ya vijijini ni kama inavyoonekana kwenye Jedwali Na. 1.
Jedwali Na. 1: Hali ya upatikanaji wa huduma ya maji Vijijini katika kila Wilaya
LGA
|
Idadi ya watu (2018)
|
Idadi ya vituo vya maji
|
Idadi ya vituo Vinavyotoa huduma
|
Idadi ya vituo Visivyotoa huduma
|
Idadi ya watu wanaopata huduma ya Maji
|
Asilimia ya watu wanaonufaika na huduma
|
Morgoro Dc
|
303,922 |
1222 |
828 |
394 |
207,183 |
68.17 |
Kilombero DC
|
321,029 |
1686 |
1,087 |
599 |
261,285 |
81.39 |
Ifakara TC
|
85,357 |
567 |
380 |
187 |
62,165 |
72.83 |
Morogoro MC
|
59,985 |
409 |
372 |
37 |
49,950 |
83.27 |
Mvomero DC
|
333,012 |
1310 |
802 |
508 |
223,118 |
67.00 |
Kilosa DC
|
467,392 |
1758 |
1083 |
675 |
314,750 |
67.34 |
Ulanga DC
|
151,790 |
774 |
519 |
255 |
106,850 |
70.39 |
Gairo DC
|
199,045 |
406 |
355 |
51 |
99,641 |
50.06 |
Malinyi DC
|
110,397 |
668 |
303 |
365 |
74,495 |
67.48 |
Jumla
|
2,031,928
|
8,800
|
5,729
|
3,071
|
1,399,437
|
68.87
|
Ujenzi wa Miradi Mingine ya Maji Vijijini
Miradi inayotekelezwa kupitia Halmashauri na Wadau wengine wa Maendeleo
Katika mwaka 2018/2019, Serikali ya Mkoa imepanga kuendelea na juhudi nyingine mbalimbali za ujenzi wa miradi ya maji vijijini. Juhudi hizo ni zile zinazofanyika kupitia vyanzo mbalimbali vya fedha. Vyanzo hivyo ni pamoja na Halmashauri, Ruzuku ya Serikali kuu na Wadau mbalimbali waliopo katika Mkoa wetu na hata wa nje ya Mkoa. Juhudi hizo zinachangia katika kuinua kiwango cha upatikanaji wa huduma ya maji. Jedwali Na. 4 linaonesha miradi ya maji itakayojengwa kwa kutumia vyanzo vya mapato vya Halmashauri na taasisi mbalimbali katika Mkoa.
Jedwali Na. 4: Miradi inayotekelezwa na Halmashauri pamoja na taasisi mbalimbali mwaka 2018/2019.
Wilaya
|
Taasisi/ chanzo cha mapato
|
Idadi ya Miradi
|
Asilimia za Utekelezaji
|
Idadi ya Vijiji vitakavyohudumiwa
|
Gairo
|
Lion Pures Water
|
1 |
Madege- Nhorongo- Sanganjeru- Chakwale- Kimashale- Kilimani (100%)
|
6 |
Kilombero
|
WARIDI
|
3 |
Kidatu A- Kidatu B- Chikago-Kidatu Kati- Mkamba (100%), Mwaya- Mgudeni- Kiswanya (97%), Kiberege-Mkasu-Bwawani- Nyamwezi- Kanolo (95%)
|
14 |
Kilosa
|
WARIDI, WORLD VISION
|
4 |
Msowero (88%), Kimamba A (100%), Kimamba B (100%), Nyameni-Kibaoni-Mbuyuni (33%)
|
6 |
Mvomero
|
WARIDI
|
3 |
Hembeti-Dihombo-Msufini (100%)
Kibaoni- Melela- Mlandizi (100%) |
9 |
SAFINA WOMEN'S ASSOCIATION (SAWA)
|
Doma-Mtupule-Msongozi (100%)
|
|||
Ulanga
|
CARTAS -Mahenge
|
1 |
Namgezi - Mbangayao - Isaka (100%)
|
3 |
Ifakara TC
|
Help for Undersaved Community (HUC) & Own source
|
1 |
Kata zote za Ifakara (48%)
|
|
Jumla
|
13 |
|
|
Kukamilika kwa miradi inayotekelezwa kupitia Program ya Maji pamoja na ile ya Wadau wengine wa mMaendeleo katika mwaka wa fedha 2018/2019 kumeongeza upatikaji wa huduma ya maji safi na salama vijiji kutoka asilimia 68.49 mwezi Juni, 2018 hadi kufikia asilimia 68.87 Januari, 2019.
Fedha za utekelezaji wa Programu ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini
Upungufu wa wahandisi na mafundi sanifu kwa ajili ya usanifu, usimamizi na uendeshaji wa miradi. Mkoa una wahandisi 14, mahitaji halisi ni wahandisi 35, upungufu wa wahandisi 21. Mkoa una mafundi sanifu 24, mahitaji 74 na upungufu wa mafundi sanifu 50.
Ufanisi mdogo wa vyombo vya watumia maji na hivyo kuathiri uendelevu wa miradi ya maji vijijini
Baadhi ya taasisi za serikali kutolipa gharama za maji kwa wakati hivyo kufanya Vyombo vya Watumia maji kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na upungufu wa mapato kulinganisha na gharama za uendeshaji wa mradi.
Uchafuzi wa vyanzo vya maji unaofanywa na wakulima na wafugaji kwenye vyanzo vya maji na kusababisha magonjwa ya mlipuko.
Wizara kuchelewesha malipo ya hati za wakandarasi
5.0 MIKAKATI YA UBORESHAJI WA HUDUMA ZA MAJI MKOANI
Kufanya utafiti wa vyanzo vipya vya maji na kuhamasisha uvunaji wa maji ya mvua na ujenzi wa mabwawa madogo.
Kushirikisha taasisi za dini na sekta binafsi katika utoaji wa huduma ya maji – kuunga mkono nguvu za Serikali katika kukabiliana na uhaba mkubwa wa huduma za maji uliopo hususani maeneo ya vijijini.
Kuweka ulinganifu/ usawa wa rasilimali watu kwa kuwahamisha kutoka maeneo yenye unafuu kwenda penye upungufu mkubwa zaidi ndani ya Mkoa na kuendelea kuomba vibali vya kuajiri watumishi wapya toka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma.
Mpango wa kuvijengea uwezo vyombo vya watumia maji (COWSO’s) kwa kushirikiana na halmashauri kwa kufanya mafunzo na kuvipatia vitendea kazi ili kuboresha utendaji kazi wao.
Mkoa kwa kushirikiana na ofisi za Maji umechukua hatua mbalimbali za utunzaji wa rasilimali maji kwa kuzuia shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya maji pamoja na kusimamia sheria za utunzaji rasilimali maji. Moja ya shughuli hizo ni kuondoa mifugo kwenye vyanzo vya maji katika milima ya Uluguru kwenye Bonde la Wami/Ruvu.
Kuhimiza upandaji miti na utunzaji wa vyanzo vya maji kupitia kamati za Usafi wa Mazingira zilizopo vijijini.
Jedwali Na. 3: Jedwali linaloonesha Utekelezaji wa Miradi ya Maji kwa kila Halmashauri 2018/19
Na
|
Halmashauri
|
Jina la Mradi
|
Idadi ya Watu wanaonufaika |
Idadi ya Vituo |
Kazi zilizopangwa kufanyika |
Kazi zilizofanyika |
Asilimia ya Utekelezaji |
Mkandarsi
|
Gharama ya mradi
|
changamoto
|
1 |
Malinyi
|
Mradi wa maji Malinyi, Kipingo na Makerere
|
18,000 |
47 |
Ujenzi wa chanzo, bomba kuu 26km, bomba la usambazaji 14km, tanki lenye ujazo wa 150m3, vituo vya maji 47, ujenzi wa ofisi, mataki manne ya uvunaji maji ya mvua
|
Ujenzi wa chanzo, vituo 47 na ofisi, bomba kuu 24km, bomba za usambazaji maji 13km, matanki ya uvunaji maji yamekamilika, ujenzi wa tanki 150m3 kwenye riser ya 12m
|
91 |
Audacia Investment
|
3,006,768,441.00
|
Mradi huu umechukua muda mrefu kukamilika kutokana na usanifu uliokosewa na Mtaalam Mshauri wa mradi Inter Consult.
|
2 |
Kilosa
|
Ujenzi wa miundombinu ya maji katika Kijiji cha Mabwegere.
|
3,000 |
12 |
Uchimbaji visima 2, Kujenga vituo vya maji 6, kujenga nyumba ya mashine, kuchimba mtaro wa maji na kulaza mabomba, ufungaji wa pampu ya kusukuma maji kutoka kisimani hadi tanki la maji
|
Ujenzi wa miundombinu ya maji umefanyika, uchimbaji wa visima 2umefanyika bado ufungaji wa pump na jenereta
|
85 |
Sepro Engineering and General Traders
|
183,097,000.00
|
|
3 |
Morogoro Vijijini
|
Mradi wa Maji Kifindike
|
2,179 |
10 |
Ujenzi wa banio/chanzo, Ujenzi wa mitambo ya kutibu maji, Ujenzi wa tanki la ujazo wa mita75, vituo vya kuchotea maji 10, matanki ya kuvunia mvua ya ujazo wa 1m,3m na 5m, ulazaji wa mabomba ya usambazaji na laini kuu
|
Ujenzi wa chazo na vituo, tanki na ulazaji wa bomba umekamilika
|
80 |
Jemason Investment Co. Ltd
|
412,779,100.00
|
Mlolongo mrefu wa malipo ya mkandarasi
|
4 |
Morogoro Vijijini
|
Mradi wa Maji Gwata
|
2,343 |
11 |
Ujenzi wa pump house, Ujenzi wa matanki 2 ujazo mita25 &50, vituo vya kuchotea maji11, tanki la kuvunia maji ya mvua ya ujazo wa 1m,3m na 5m, ulazaji wa mabomba ya usambazaji 7,648m na laini kuu 6,346m , na kufundisha mafundi 2 kufunga pump 1 ya kusukuma maji
|
Ujenzi wa matanki 2, ulazaji wa mabomba ya usambazaji 7,648m na ujenzi wa vituo 11. Bado ujenzi wa swamp tank na bomba kuu ambavyo vitajengwa kutoka kwenye mradi wa maji Chalinze
|
75 |
Kumba Quality Contractors
|
440,600,000.00
|
Mradi huu unategemea maji kutoka mradi wa maji wa chalinze ambao haujakamilika.
|
5 |
Ifakara
|
Kibaoni
|
3,215 |
10 |
Uchimbaji na ulazaji mabomba yenye urefu wa 8,100, Ujenzi wa nyumba ya mashine ya kusukuma maji, ununuzi na ufungaji wa pump
|
Ujenzi wa nyumba ya mashine ya kusukuma maji, uchimbaji mitaro 7.4km
|
60 |
ELEISA Co. Ltd
|
242,667,590
|
|
6 |
Ifakara
|
Mahutanga
|
4,720 |
20 |
Ukarabati wa nyumba ya mashine ya kusukuma maji, Uchimbaji na ulazaji mabomba yenye urefu wa 15,000m, ujenzi wa vituo 10
|
Ukarabati wa nyumba ya mashine ya kusukuma maji unaendelea, ulazaji mabomba yenye urefu wa 15km, ujenzi wa vituo 10
|
85 |
Sepro Engineering Co. Ltd
|
393,508,000
|
|
7 |
Ulanga
|
Ukarabati wa Mradi wa maji Mgolo na RUMWAMCHILI
|
19,500 |
78 |
ukarabati wa kufunga mabomba 6'' GS 240m, PVC 6'' 200m, HDPE 2'' 200m, PVC 4'' 3060m,
|
Uchimbaji na ulazaji mabomba umbali wa 3,600m
|
71 |
Bayona Cons
|
199,783,400.00
|
|
8 |
Mvomero
|
Ukarabati wa Mradi wa Maji kijiji cha Lukenge
|
2,227 |
13 |
Uchimbaji wa kisima, Ulazaji wa bomba, Ujenzi wa Vituo 2 vya kutolea huduma ya Maji,Ukarabati wa vituo 11 vya kutolea huduma kwa binadamu, ukarabati wa birika la kuhifadhi maji la lita 50,000, Ujenzi wa mnara wa kuhifadhi tenki la Plastik la lita 5,000
|
Ulazaji wa bomba za usambazaji, Ujenzi wa Vituo 2 na ukarabati wa vituo 11 vya kutolea huduma, ukarabati tanki, uchimbaji wa kisima. Ufungaji wa pump
|
95 |
Mradi huu unasubiri kibali kutoka Wizara ya Maji kwa ajili ya kutangaza zabuni.
|
NA
|
Maji yaliyopatikana katika chanzo cha kisima cha awali hayakufaa kwa matumizi ya binadam hivyo kisima kingine kimechimbwa.
|
9 |
Mvomero
|
Ujenzi wa Mrad wa Maji Kijiji cha Dihinda
|
12,265 |
21 |
Kujenga nyumba ya mtambo wa kusukuma maji, Kufanya Pump Testing ili kubaini uwezo wa kisima, Kununua na kufunga Nishati ya jua, Kununua na kufunga Pampu, , Kujenga Matenki mawili ya kuhifadhi maji yenye uwezo wa lita 90,000, Kujenga laini mpya ya mabomba ya urefu wa 12.65km, Kujenga vituo 21 vya kutolea huduma ya maji kwa binadamu
|
Uchimbaji mtaro na ulazaji bomba umefanyika 95%, ujenzi wa tanki 225m3 umefanyika kwa 75%, ujenzi wa pump house 75%, ujenzi wa vituo 30%
|
70 |
Chakwale Company Ltd
|
603,433,119.26
|
|
10 |
Mvomero
|
Ujenzi wa Mrad wa Maji Kijiji cha Masimba
|
4,662 |
15 |
Kujenga nyumba ya mtambo wa kusukuma maji, Kufanya Pump Testing ili kubaini uwezo wa kisima, Kununua na kufunga Nishati ya jua, Kununua na kufunga Pampu, , Kujenga tenkii la kuhifadhi maji lenye uwezo wa lita 90,000, Kujenga laini mpya ya mabomba ya urefu wa 4.07km, Kujenga vituo 15 vya kutolea huduma ya maji kwa binadamu
|
Ujenzi wa nyumba ya mtambo umefikia 60%, ujenzi wa tenki 75%, uchimbaji wa mitaro na ulazaji wa bomba umefikia 80%, ujenzi wa vituo umefikia 80%.
|
80 |
Macea Construction Ltd
|
432,585,382.08
|
|
11 |
Mvomero
|
Ujenzi wa Mrad wa Maji Kijiji cha Lubungo
|
8,000 |
16 |
Ujenzi wa nyumba ya mtambo wa kusukumia maji, kununua na kufunga pampu inayotumia nishati ya jua, uchimbaji, ulazaji na ufukiaji wa bomba, Ujenzi wa tenki la 90m3, Ujenzi wa vituo 16.
|
Ununuzi wa mabomba
|
15 |
Chakwale Co. Ltd
|
430,104,045.60
|
|
12 |
Mvomero
|
Ujenzi wa Mrad wa Maji Kijiji cha Vianzi
|
4000 |
8 |
Ujenzi wa nyumba ya mtambo wa kusukumia maji, kununua na kufunga pampu inayotumia nishati ya jua, uchimbaji, ulazaji na ufukiaji wa bomba, Ujenzi wa tenki la 45m3, Ujenzi wa vituo 8.
|
Uchimbaji na ulazaji mabomba 10.8km, Kupima wingi wa maji kwenye kisima
|
20 |
EKA Investiment Co. Ltd
|
336,059,209.20
|
|
13 |
Mvomero
|
Ujenzi wa Mrad wa Maji Kijiji cha Kihondo
|
5000 |
10 |
Ujenzi wa nyumba ya mtambo wa kusukumia maji, kununua na kufunga pampu inayotumia nishati ya jua, uchimbaji, ulazaji na ufukiaji wa bomba, Ujenzi wa tenki la 90m3, Ujenzi wa vituo 10.
|
Ujenzi wa nyumba ya mashine ya kusukuma maji 60%, ujenzi wa tank 45%, kupima wingi wa maji
|
30 |
MACEA Construction Ltd
|
251,503,725.00
|
|
14 |
Gairo
|
Mradi wa Maji kisima kirefu wa Italagwe
|
9500 |
19 |
Ujenzi wa tank, ujenzi wa vituo 19, uchimbaji na ulazaji mabomba, ujenzi wa pump house na ufungaji ya jenereta
|
Ujenzi wa vituo (95%), ujenzi wa nyumba ya mtambo wa kusukumia maji, ujenzi wa tanki 30%, uchimbaji, ulazaji na ufukiaji bomba kuu 1960m, bomba za usambazaji 21,450m.
|
70 |
Saxon Company Ltd
|
933,059,771.60
|
|
15 |
Gairo
|
Mradi wa Maji kisima kirefu wa Chiwaga - Makuyu
|
5000 |
10 |
Ujenzi wa tank, ujenzi wa vituo 10, uchimbaji na ulazaji mabomba, ujenzi wa pump house na ufungaji ya jenereta
|
Uchimbaji na ulazaji bomba urefu 4000m, ufyatuaji wa tofali za kujenga tenki
|
35 |
Chakwale Company Ltd
|
745,530,692.02
|
|
16 |
Gairo
|
Mradi wa Maji kisima kirefu wa Chogoali
|
4500 |
9 |
Ujenzi wa tank, ujenzi wa vituo 9, uchimbaji na ulazaji mabomba, ujenzi wa pump house na ufungaji ya jenereta
|
Uchimbaji mitaro na ulazaji bomba kuu na usambazji 5,300m.
|
30 |
Iwawa Civil & Building Works Co. Ltd
|
551,011,384.00
|
|
17 |
Morogoro MC
|
Mradi wa Maji Mserereko wa Mundu na Kilala
|
5,080 |
14 |
Ujenzi wa tanki la maji mita za ujazo 100, utandazaji wa mabomba 11,057m, ujenzi wa vituo 14 vya maji, ujenzi wa banio la maji
|
Uchimbaji, ulazaji na ufukiaji wa bomba 80%, ujenzi wa tenki 30, ujenzi wa vituo 50%
|
40 |
Iwawa Civil & Building Works Co. Ltd
|
496,967,856.00
|
|
Utafutaji wa vyanzo vya Maji (Uchimbaji Visima Virefu) kwa kila Halmashauri 2018/19
Na
|
Halmashauri
|
Jina la Mradi
|
Idadi ya Watu wanaonufaika |
Idadi ya Vituo |
Kazi zilizopangwa kufanyika |
Kazi zilizofanyika |
Asilimia ya Utekelezaji |
Mkandarsi
|
Gharama ya mradi
|
changamoto
|
1 |
Malinyi
|
Mradi wa utafiti na uchimbaji visima 20
|
8,000 |
|
Utafiti na uchimbaji visima 20 (Kalengakero, Usungule, Kipenyo, Mtimbira, Sofi, Lumbanga, Kiswago, Madibira)
|
Utafiti umefanyika, visima 20 vimechimbwa kati ya vivyo 14 vina maji ya kutosha, 4 maji kidogo, vingine vilikosa maji
|
90 |
Victoria borehole drilling Ltd
|
538,990,000.00
|
Kazi inaendelea.
Mlolongo mrefu wa malipo kwa wakandarasi. |
2 |
Ulanga
|
Uchimbaji wa visima 27 katika vijiji 27
|
6,075 |
|
Utafiti na uchimbaji visima 27 (Igumbiro, Ruaha, Chirombola, Mwaya, Mzerezi, Uponera, Nkongo, Chikuti, Mavimba, Mahenge, Mawasiliano, Isongo, Uponera, Msogezi, Vigoi, Nawenge, Mwaya, Mbuga, Ilonga, Ketaketa, Lukande, Euga, Sali, Lupiro, Iragua na Milola)
|
Utafiti umefanyika, visima 27 vimeshachimbwa 24 vina maji ya kutosha
|
95 |
PNR Cons
|
807,140,650.00
|
|
3 |
Kilombero
|
Uchimbaji visima virefu vijiji vya Kalengakeru na Mlimba
|
|
|
Utafiti na uchimbaji visima virefu vijiji vya Kalengakeru na Mlimba
|
Utafiti na uchimbaji visima 2 umekamilika
|
100 |
Victoria Drilling Company
|
62,090,000.00
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.