• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Hali ya Mifugo Morogoro

Kutokana wingi wa Mifugo katika Mkoa wa Morogoro, RCC iliyofanyika tarehe 27/2/2015 na tarehe 26/2/2016 kiliazimia Mkoa kutoa tamko la kusitisha uingizaji mifugo  kutoka nje ya mkoa. Agizo hilo pia lilisisitiziwa na kikao cha Halmashauri ya Mkoa ya CCM iliyoketi tarehe 7/8/2015. Maagizo hayo yalipelekea Mkuu wa Mkoa kutoa tamko la kusitisha uingizaji wa mifugo kutoka nje ya Mkoa wa Morogo  mnamo tarehe 20/5/2016. 

Tamko la Mkuu wa Mkoa limezingatia sheria zifuatazo za mifugo;

     a) Sheria ya Magonjwa ya Mifugo Na. 17 ya mwaka 2003 kifungu cha 43

     b) Sheria ya Nyanda za Malisho na Rasilimali ya Vyakula vya Mifugo Na.13 ya mwaka 2010 kifungu cha 20.

     c) Sheria ya Usajili, Utambuzi na Ufuatiliaji wa Mifugo Na. 12 ya mwaka 2010 kifungu cha 12 na 24

Baada ya Tamko hilo, Mkoa ulisimamia kwa dhati utekelezaji wa Tamko hilo. Shughuli kubwa iliyofanyika ni ya  Utambuzi na Ufuatiliaji wa mifugo.  Utambuzi wa mifugo ulifanywa kwa kuweka alama ya Chapa ya Moto kwa  Ng’ombe wote walioko ndani ya Mkoa.  Zoezi hilo lilianza tarehe 1 Juni, 2016 na lilikuwa endelevu.

 

Kuanzia 1/6/ 2016 Halmashauri zote zimekuwa zikitoa Elimu kwa  njia ya mikutano ya hadhara kwa Wafugaji. Baada ya hapo wafugaji walisajiliwa na mifugo yao kupigwa Chapa. Wafugaji waliosajiliwa walipewa Vitambulisho.

Hadi kufikia 1/12/ 2016 jumla ya Ng’ombe 351,406 walipigwa chapa kati ya Ng’ombe 894,504 sawa na asilimia 39% kama jedwali linavyoonesha hapa chini.

NA
HALMASHAURI
MAKADIRIO YA IDADI YA MIFUGO
WALIOPIGWA CHAPA
ASILIMIA
1
Malinyi
79709
106130
133%
2
Ulanga
26119
44434
170%
3
Morogoro
164691
     2479
1.5%
4
Manispaa
5320
3020
57%




Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Zaidi ya Mil. 125 zachangwa kupitia chakula cha hisani kukarabati Hospitali ya Rufaa Morogoro.

    May 18, 2025
  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.