• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro

13 April 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Mwassa, anawatangazia Watu wote  wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika Mkoa wa Morogoro.

Maeneo ya kipaumbele katika uwekezaji huo ni pamoja na uanzishaji wa Kilimo cha kibiashara, Viwanda vya usindikaji wa mazao ya kilimo, Uanzishwaji wa Viwanda vikubwa, Utalii, Uchimbaji wa Vito na Madini na viwanda vya kusindika nyama.

  • Sababu za wazi zinazovutia kuwekeza Mkoani Morogoro ni pamoja na, Mkoa wa Morogoro umejaliwa kuwa na fursa na mazingira mazuri ya Uwekezaji, Uwepo wa rasilimali nyingi za asili ambazo bado hazijatumika ipasavyo, Uwepo wa nguvukazi ya kutosha inayojituma na hali ya hewa nzuri inayoruhusu kufanyika kwa shughuli za kiuchumi.
  • Sababu nyingine ni Mkoa wa Morogoro kuwa kimkakati zaidi kijiografia kutokana na mahali ulipo katika barabara Kuu ya kutoka Mikoa ya mashariki kwenda Mikoa ya Magharibi na nyanda za juu Kusini.
  • Aidha,Mkoa  unapitiwa na Reli Kuu tatu, Reli ya KATI, TAZARA na Reli ya kisasa ya SGR hivyo kurahisisha usafirishaji. Mkoa kuwa katikati ya Makao Makuu ya nchi (Dodoma) na Mji wa kibiashara wa Dar es Salaam na hivyo kutengeneza fursa za kibiashara
  • Uwepo wa Vivutio vingi vya Utalii ni sababu nyingine ya kivutio. Vivutio hivyo ni kuwepo na  mbuga za wanyama za Mikumi, Udzungwa, Selous na maeneo mengine ya asili yanayovutia shughuli za uendeshaji wa mahoteli ya kitalii, maporomoko ya maji, nyanzo vya maji na wanyama na ndege wa aina mbalimbali ambao wengine hawapo kabisa maeneo mengine Duniani.

Serikali ya Mkoa wa Morogoro imejipanga kuhakikisha kwamba wale watakaoonesha nia ya kuwekeza katika Mkoa wa Morogoro wanafanikiwa kutekeleza malengo yao kwa amani na utulivu.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na Dawati la uwekezaji Mkoa wa Morogoro

Kwa  simu Na:

+255232604237 au +255689641088

Matangazo

  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro April 13, 2023
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AWATAKA VIJANA KUJIUNGA KWENYE VIKUNDI KUPATA FEDHA ZA 10%

    December 02, 2023
  • RC MALIMA AWATAKA VIJANA KUJIUNGA KWENYE VIKUNDI KUPATA FEDHA ZA 10%

    December 02, 2023
  • Matokeo ya utafiti VVU yazinduliwa, Waziri Mkuu ahimiza wanaume kupima VVU.

    December 02, 2023
  • Viongozi wa Dini watakuwa kutoa elimu juu ya mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI.

    November 29, 2023
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.