• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MOROGORO MARATHON KUTANGAZA UTALII

Posted on: November 3rd, 2018

MOROGORO  MARATHON  KUTANGAZA  UTALII

Mashindano ya  Riadha ya nayotarajiwa kufanyika Mkoani Morogoro hivi karibuni maalufu kama Morogoro Marathon ya tasaidia kutangaza  vivutio vya utalii vinavyopatikana Mkoani humo zikiwemo mbuga za Wanyama Mikumi, Selous, Ruaha misitu ya Udizungwa na nyingine nyingi.


Akizungumza na waandishi wa habari akiwa ofisini kwake Novemba 2 mwaka huu Mkuu wa Mkoa huo Dkt. Kebwe S. Kebwe amewaasa wananchi wote Mkoani humo kujitokeza kwa wingi kushiriki mashindano hayo ili waweze  kupata fulsa ya kujifunza umuhimu wa utalii na kuzijua vizuri sehemu za vivutio vya utalii Mkoani humo.

“Siku hiyo wanamorogoro naomba wajitokeze kwa wingi kwa kadri watakavyo weza na washiriki kikamilifu ili tuutangaze Mkoa wetu kiutalii kwa sababu Mkoa wetu ndio Mkoa pekee Tanzania kwa kuwa na vivutio vingi vya utalii”alisema Dkt. Kebwe.

Aidha, Dkt. Kebwe amewataka wananchi wa Mkoa huo kuto  wa wekea Watoto wao mikanda ya Wanyama badala yake wawapeleke  katika mbuga za Wanyama na sehemu nyingine zenye vivutio vya kitalii  katika Mkoa huo  wakatalii ili wajionee moja kwa moja Wanyama wanaowaona kwenye TV.

Kwa upande wake afisa utamaduni Mkoani humo Bi. Grace Njau amesema mashindano hayo ya takayofanyika Morogoro kwa mara ya kwanza ya takuwa na zawadi mbalimbali  kwa washindi hivyo amewataka wanamorogo watakaoshiriki kujiandaa kikamilifu ili waweze kuibuka washindi.

Nae Katibu wa Riadha Mkoa wa Morogoro Bw. Omary Chamlungu amesema mashindano hayo yatakuwa na umbali wa kilometa  21 na umbali wa kilometa tano 5 ambapo amebainisha kuwa vipomo vimesha fanyika na marekebisho madogo ya liyobaki watayakamilisha hivi punde.

Morogoro Marathon ni mashindano ya Riadha ya nayotarajiwa kufanyika Mkoani Morogoro kuanzia Disemba 2 mwaka huu ambapo watu Zaidi ya 4,000 kutoka sehemu mbalimbali wanatarajia kushiriki mashindano hayo huku ya kibeba dhima ya kutangaza vivutio vya utalii Mkoani humo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 - MKOA WA MOROGORO December 07, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • ZAIDI YA BIL. 7 ZATARAJIWA KUTUMIKA MOROGORO.

    March 04, 2021
  • Serikali inapoteza Bil. 18 kwa mwaka

    March 03, 2021
  • Wahasibu Halmashauri za Morogoro waonywa.

    March 03, 2021
  • Mkoa wa Morogoro wajipanga kuwa wa kiutalii.

    February 26, 2021
  • View All

Video

Anayetaka kumuheshimu Rais amuheshimu Mwananchi - RC Sanare
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.