• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar

Posted on: August 7th, 2018

Balozi Seif ataka maandalizi kwa wanafunzi watakaosomea kilimo

Na: Andrew Chimesela, Morogoro


Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd ameshauri kuwepo maandalizi ya wanafunzi kusoma masomo yanayohusu kilimo tangu wakiwa katika ngazi ya msingi badala ya wanafunzi wenye nia hiyo kukutana na masomo hayo wakati wakijiunga na Chuo Kikuu.

Balozi Idd ametoa ushauri huo Agosti 7 mwaka huu mara tu baada ya kutembelea vipando na mabanda ya Maadhimisho ya wakulima, wafugaji na wavuvi Kanda ya Mashariki yanayofanyika katika uwanja wa Mwl. Julius Nyerere eneo la Nanenane Mkoani Morogoro.

Akiwa Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo Balozi Seif alitembelea mabanda na vipando vya Halmashauri, Miji, Majiji na Taasisi mbalimbali za Serikali na za mashirika binafsi ambapo pia alitembelea banda la SUA na banda la wahitimu wa kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine - SUA ambao wamejiajiri baada ya kuhitimu masomo yao jambo ambalo lilimfurahisha Balozi Seif.

Hata hivyo Balozi Seif amesema ni vema wanafunzi wenye malengo ya kwenda kusomea  Sekta ya Kilimo katika ngazi za juu wakaanza kuandaliwa mapema kupatiwa masomo yanayohusu Kilimo tangu wakiwa katika Elimu ya Msingi ili wajue vema nini maana ya kilimo kabla hata hawajajiunga na vyuo vikuu kwa lengo la kuleta ufanisi zaidi katika Sekta ya Kilimo.

“Mwanafunzi wa Sokoinne ili kumpatia mwanzo mzuri wa kukijua hasa kilimo ni vema tukawaanzia tangu madarasa ya chini, walau kuanzia Primary, sehemu ya silabasi inakuwa Kilimo” alisema Balozi Seif.

Maadhimisho hayo ya 25 ya wakulima, Wafugaji na Wavuvi Kanda ya Mashariki inayojumuisha Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga na Morogoro yenye kaulimbiu “Wekeza katika Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa maendeleo ya Viwanda” yanatarajiwa kufikia kilele chake Agosti 8 mwaka huu ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Waziri wa Mifugo Mhe. Luhaga Joelson Mpina.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 - MKOA WA MOROGORO December 07, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • Morogoro kumuenzi JPM kwa kudumisha Amani na Utulivu.

    March 24, 2021
  • RC MSTAAFU STEVEN MASHISHANGA ATOA SALAMU ZA POLE.

    March 19, 2021
  • RC Sanare awapa pole Wanamorogoro kwa Msiba Mkubwa, awataka watulie

    April 28, 2021
  • RC SANARE AIAGIZA TAKUKURU.

    March 13, 2021
  • View All

Video

Anayetaka kumuheshimu Rais amuheshimu Mwananchi - RC Sanare
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.