• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Dkt. Kebwe aagiza soko kujengwa usiku na mchana

Posted on: January 3rd, 2019

Na Andrew Chimesela – Morogoro.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt Kebwe Stephen Kebwe ameiagiza Kampuni inayojenga Soko Kuu la Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kufanya kazi ya ujenzi huo usiku na mchana ili kufidia muda ambao wataweza kuupoteza wakati wa mvua za masika zitakapoanza kwa lengo la ukamilisha ujenzi huo kwa wakati.


Dkt. Kebwe ametoa agizo hilo Januari 2 mwaka huu alipofanya ziara katika soko hilo akiambatana na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa ili kujiridhisha maendeleo ya ujenzi huo na kubaini kama kuna changamoto au mapungufu yoyote.


Katika kujiridhisha huko alibaini kuwa ujenzi huo uko nyuma ya ratiba ya kukamilika kwake kwa wiki tano, ndipo alipofikia hatua ya kuagiza ujenzi huo kufanyika usiku na mchana. “kwa hiyo nimewaelekeza wajenge usiku na mchana ili hata kama ikitokea bahati mbaya mvua zitakuja kwa wingi wawe wamekwisha okoa sehemu ya muda” alisema Dkt. Kebwe.


Naye Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro amewatoa hofu wafanyabiashara wa Manispaa hiyo kutekeleza makubaliano waliokubaliana awali kuwa wafanya biashara waliokuwa wanafanya biashara zao katika soko la awali watakuwa wa kwanza kupewa vizimba vya kufanyia biashara zao.


Kwa upande wake msimamizi wa Ujenzi wa soko hilo Mhandisi Antonio Mkinga alitaja changamoto za mradi ikiwa ni pamoja na eneo la mradi liko chini sana na kuwepo kwa mto Kikundi unaopita karibu na eneo hilo vinaweza kuathiri kwa kiasi mwenendo wa ujenzi huo jambo ambalo tayari Mkuu wa Mkoa amekwisha watahadharisha kuchukua hatua mapema katika  kukabiliana na changamoto hizo.


Soko hilo kubwa na la kisasa ambalo hadi kukamilika kwake litagharimu kiasi cha shilingi za kitanzania 17.6 Bil. ujenzi wake umefikia asilimia 15 na unatarajiwa kukamilika ifikapo  Septemba 19 mwaka huu.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 - MKOA WA MOROGORO December 07, 2019
  • View All

Habari Mpya

  • ZAIDI YA BIL. 7 ZATARAJIWA KUTUMIKA MOROGORO.

    March 04, 2021
  • Serikali inapoteza Bil. 18 kwa mwaka

    March 03, 2021
  • Wahasibu Halmashauri za Morogoro waonywa.

    March 03, 2021
  • Mkoa wa Morogoro wajipanga kuwa wa kiutalii.

    February 26, 2021
  • View All

Video

Anayetaka kumuheshimu Rais amuheshimu Mwananchi - RC Sanare
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.