JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
 
     
     
 
     
MAJUKUMU YA MKOA
 
Miradi [ Nyumbani ]
 

  1. Kuhakikisha Mkoa unakuwa na amani, utulivu, usalama na mshikamano kwa kuzingatia misingi ya Utawala Bora.
  2. Kuziwezesha na kuzijengea mamlaka za Serikali za Mitaa uwezo wa kiutendaji ili ziweze kutoa huduma zinazostahili kwa wananchi.
  3. Kuhakikisha huduma bora za kiuchumi zinawafikia wananchi walio wengi kwa viwango na ubora unaostahili.
  4. Kuhakikisha masuala mtambuka kama vile UKIMWI, Hifadhi ya mazingira na jinsia yanapewa kipaumbele katika kupanga mipango na kupewa rasilimali.
  5. Kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini (MKUKUTA).

 

 

 

 

 

 
 
         
 
Kazi [ Nyumbani ]
Rudi juu
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, TEL: 026 - 2604237/2600973, FAX: 026 2601000