JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
 
     
     
 
     
MATUKIO MBALIMBALI
 
[ Nyumbani ]
 
 

 

 

 
 

Bw. Hussein Kattanga Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro, akiwa anaongea jambo na washiriki wa Kikao cha Mrejesho wa Bajeti ya 2010/2011 kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa kufungua kikao hicho rasmi katika ukumbi wa Hoteli ya Morogoro..

 
   
 

Bw. Grayson Kikwesha Katibu Tawala Msaidizi Mipango na Uratibu, akiwasilisha mada katika kikao cha Mrejesho wa Bajeti ya 2010/2011.

 
   
 

Baadhi ya washiriki wa Kikao hicho wakisikiliza kwa makini mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa na watoa mada.

 
   
 

Washiriki wa kikao cha Mrejesho wa Bajeti, wakisikiliza kwa makini mada zinazowasilishwa, kutoka kushoto ni Ester Lauwo Katibu Tawala Msaidizi Huduma za Jamii, Dr. Frida Mokiti Mganga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na kulia kabisa ni Bibi. Fatuma Kilimia Afisa Elimu Mkoa wa Morogoro.

 
 

 
  Wafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, wakisikiliza jambo wakati wa kikao hicho.  
   
  Wafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro wakisikiliza jambo kutoka kwa Mwasilishaji kutoka kushoto ni August Mwaria, Prosper Mapunga, Bi. Kuruthum na nyuma kabisa Bibi Mwantumu Simba.  
   
  Washiriki wa kikao hicho wakifuatilia jambo kwa umakini mkubwa wakati moja kati ya Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Morogoro alipokuwa akiwasilisha Mrejesho wa Bajeti ya Halmashauri yake.  
   
 
Mh. Halima Dendego Mkuu wa Wilaya ya Kilosa (kushoto)akiwa na wataalam na viongozi wa Kilosa, anayefuatia ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, Katibu Tawala Wilaya na Afisa Mipango wa Wilaya ya Kilosa.
 
         
 
[ Nyumbani ]
Rudi juu
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, TEL: 023 - 2604237/2600973, FAX: 023 2601000