Mh. Said Mwambungu Mkuu wa Wilaya ya Morogoro (Mwenye suti) akiwa amesimama na viongozi na wanachama wa chama cha mapinduzi kutoka kushoto ni Aziz Abood (MNEC), Dr. Omary Mzeru, Katibu wa CCM Wilaya ya Morogoro na Kulia kabisa Prof. Romanus Ishengoma |