JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
 
     
     
 
     
MAJI
 
[ Nyumbani ]
 

Malengo ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ni kusambaza huduma ya maji kwa asilimia 90 kwa wakazi wa mjini na 65 ya wakazi wa vijijini.Mkoa umefanikiwa kutoa huduma ya maji safi na salama kwa asilimia 63.49 kwa wakazi wa vijijini na asilimia 93 kwa wakazi wa Manispaa.

Jedwali laTakwimu za mafanikio Sekta ya Maji.

  Kiashiria

 2005

 2008

 Ongezeko asilimia

 Uchimbaji wa Visima vifupi

2157

 2254

4.5

 Uchimbaji wa Visima virefu

 103

 107

3.9

 Ukarabati wa Visima vifupi

 0

 93

100.0

 Ukarabati wa Visima virefu

 0

 4

100.0

 Kamati za Maji

 1,814

 1,891

4.2

 Bodi za maji

 5

 8

60.0

 Thamani ya mifuko ya Maji (Tsh)

  108,101,586.23

 140,234,818

29.7

Asilimia ya wanapata maji safi(Mijini)

80.75

93

15.2

Asilimia ya wanapata maji safi(Vijijini)

55.7

63.49

14.0

Chanzo:Taarifa za Wilaya 2005-2008

Hadi kufikia 2008 vipo vituo vya maji 4,138 ambapo vituo 3,317 ndio vinatoa huduma ya maji kwa wananchi.

Jedwali la Idadi ya vituo vya Maji Mkoani Morogoro 2008

Na.

Halmashauri ya Wilaya / Manispaa

Vituo vilivyojengwa mpaka 2008

Vituo vilivyotoa huduma ya maji

1

Kilosa

980

803

2

Morogoro

783

486

3

Mvomero

681

526

4

Kilombero

998

825

5

Ulanga

673

663

6

Morogoro Manispaa

23

14

 

Jumla

4,138

3,317

Chanzo:Taarifa za Wilaya 2005-2008

 

         
 
[ Nyumbani ]
Rudi juu
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, TEL: 026 - 2604237/2600973, FAX: 026 2601000