JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
 
     
     
 
     
 
 
Kutuhusu [ Nyumbani ]
 

DIRA ...

Dira ya Mkoa ni kuwa Taasisi ya Umma iliyo na uwezo wa kusimamia Sheria za Nchi, Kanuni na Taratibu za uendeshaji wa Nchi kwa lengo la kuleta maendeleo kwa wananchi wetu Kiuchumi, Kijamii na Kiutamaduni.

 

DHAMIRA

Dhamira ni kuwa Taasisi yenye uwezo na ujuzi endelevu, ili kutoa huduma za ushauri wa kitaalamu kwa mamlaka za Serikali za Mitaa na Wadau wengine wa Maendeleo, kwa kuzingatia Sera, Sheria na Miongozo ya Serikali kwa minajili ya kutoa huduma bora kwa wananchi.

 

 

 

 

 

 

Kutuhusu[ Nyumbani ]
Rudi juu
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, TEL: 026 - 2604237/2600973, FAX: 026 2601000