JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
 
     
     
 
     
JAMII, JINSIA NA WATOTO
 
[ Nyumbani ]
 

Wanawake

Jumla ya wanawake 18,077 wamejiunga na SACCOS kufikia Desemba, 2008 kutoka idadi ya wanawake 9,044 mwaka 2005, hii ni sawa na ongezeko la asilimia 99.9. Kushiriki kwa wanawake katika SACCOS kumepanua wigo wa wanawake kushiriki katika shughuli za uzalishaji na kuweza kujipatia mtaji wa kuendeshea biashara zao na kuondokana na umasikini wa kipato.

 

 

 

         
 
[ Nyumbani ]
Rudi juu
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, TEL: 026 - 2604237/2600973, FAX: 026 2601000