Wilaya ya Ulanga ina majimbo mawili ya uchaguzi.Upande wa Magharibi ni jimbo la uchaguzi la Ulanga Magharibi upande wa Mashariki ni jimbo la uchaguzi la Ulanga Mashariki
Mbunge wa kuchaguliwa
Mhe. Celina Ompeshi Kombani-Ulanga Mashariki
Mhe. Alhaji Dkt. Juma H. Ngasongwa-Ulanga Magharibi