JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
 
     
     
 
     
AFYA
 
[ Nyumbani ]
 

Vituo vya Kutolea Huduma

Mkoa una zahanati 288, vituo vya afya 33 na Hospitali 13. Vituo hivi vinamilikiwa na Serikali Kuu, Halmashauri, Mashirika ya Dini, Mashirika ya Umma na watu binafsi. Z ahanati 202 ni za Serikali na vituo 22 vya afya sawa na asilimia 35 na zipo katika kata 124.

Mkoa unazo hospitali 3 za Halmashauri kati ya sita zinazohitajika. Halmashauri ya Mvomero inakamilisha makubaliano na hospitali ya Taasisi ya dini ya Turiani kuwa hospitali teule ya Wilaya.

Vituo vya kutolea huduma za afya mwaka 2005 vilikuwa 280 ukilinganisha na mwaka 2008 ambapo vipo vituo 337 ongezeko likiwa asilimia 20.4.

Jedwali la Vituo vya kutolea huduma za Afya na Umiliki Mkoa wa Morogoro

Mmiliki

Idadi ya Vituo vya huduma 2008

Ongezeko asilimia

 

2005

Serikali

181

208

14.9

Mashirika la dini

56

75

33.9

Taasisi

21

21

0

Binafsi

32

33

3.1

Jumla

280

337

20.4

Chanzo: Taarifa za Wilaya 2005-2008

Jedwali la Vifo vya wanawake vitokanavyo na uzazi mwaka 2005 - 2007

Mwaka

Jumla ya Wanawake waliozaa

Idadi ya Vifo

Vifo kwa 100,000 (MMR)

2005

53,545

290

542/100,000

2006

53294

119

223/100,000

2007

58,218

115

198/100,000

Chanzo:Taarifa za Wilaya 2005-2008

Takwimu zinaonesha kwamba vifo vya akina mama vimeshuka toka 542 kwa kila akina mama 100,000 mwaka 2005 hadi 198 kwa kila 100,000 mwaka 2007.

Huduma ya Chanjo.

Jedwali la: Huduma za Chanjo kati ya 2005 na 2007

Mwaka

Lengo

Utekelezaji

BCG(%)

OPV0(%)

OPV3(%)

DPT3(%)

Surua(%)

Vit A(%)

2007

82,085

93.6

67

91.3

91.5

89

89

2006

77,960

96

76

94

94

93

93

2005

75,976

95

62

91

91

90

90

Chanzo:Taarifa za Wilaya 2005-2008

 

         
 
[ Nyumbani ]
Rudi juu
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, TEL: 026 - 2604237/2600973, FAX: 026 2601000