Mwananchi yeyote anaetaka kuonana na Mkuu wa Mkoa katika masuala ya Kiofisi anatakiwa awasiliane na Msaidizi wake (Katibu wa Mkuu wa Mkoa) kwa kupitia namba ya simu +255-232604227. Hapa utapata maelekezo zaidi na kupangiwa siku ya kuonana na Mkuu wa Mkoa. Inashauriwa kumuona Mkuu wa Mkoa baada ya kupitia ngazi zote husika ambazo ni:-
Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.