JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA     ENGLISH
   
 
 
 .: Muundo wa Kiutawala
 .: Kutuhusu Sisi
 .: Dira & Dhamira
 .: Majukumu ya Mkoa
 .: Fedha & Bajeti - Taarifa
 .: Mipango
 .: Takwimu
 .: Kilimo na Mifugo
 .: Maliasili na Mazingira
 .: Elimu
 .: Afya
 .: Maji
 .: Ushirika
 .: Biashara
 .: Barabara na Majengo
 .: Ardhi, Upimaji & Ramani
 .: Jamii, Jinsia & Watoto
 .: Taarifa za Mkaguzi
 .: Kazi
 .: Sheria
 .: Serikali za Mitaa
 .: FAMOGATA
 .: Daftari la wageni &Maoni
.: Teknohama (ICT)
.: Tovuti nyingine muhimu
     
 

Mkoa wa Morogoro ni Mkoa wa kwanza kwa ukubwa hapa nchini. Mkoa una eneo la Kilometa za mraba 73,039. Eneo hili ni sawa na asilimia 7.7 ya eneo lote la Tanzania Bara ambalo ni kilomita za mraba 947,300. Kati ya eneo hili Km 2,240 ni maji. Mkoa umepakana na Mikoa ya Manyara na Tanga upande wa Kaskazini , kwa upande wa Mashariki unapakana na mikoa ya Pwani na Lindi, na kwa upande wa Magharibi umepakana na Mikoa ya Dodoma na Iringa. Upande wa Kusini unapakana na Mkoa wa Ruvuma.

 

     
     
   
 

Mh. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisaini Kitabu cha Mahudhurio Ikulu ndogo Morogoro na

 
     
 

pembeni yake ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Joel Bendera. Rais Kikwete alifanya ziara Mkoani Morogoro na kutembelea Chuo Kikuu cha Waislamu ambapo alifanya uzinduzi wa Jengo la ICT. Pia katika ziara hiyo Mh Rais aliongoza Harambee kwa ajili ya Ujenzi wa Kanisa la Parokia ya Kigurunyembe Morogoro, Harambee hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Magadu. Maelezo zaidi bonyeza hapa!!

 
 

 
 

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Joel Bendera akimkabidhi zawadi Balozi wa Ireland Nchini (Wa katikati), kushoto kabisa ni Waziri wa Biashara na Maendeleo Nchini Ireland Mh Joe Kastello.

 
 
     
  Orodha ya Walimu waliobadilishiwa Vituo  
  ..........................................................  
  Zoezi la kuondoa Mifugo Bonde la Mto Kilombero  
  ..........................................  
   
 
..........................................................
 
  ..........................................................  
  KOREA KUFADHILI MRADI WA KILIMO PANGAWE  
  ...........................................................  
  Ufafanuzi Kuhusu VYAKULA Vya WATOTO Vilivyowahi Kuzuiwa Na Ambavyo Vimeidhinishwa Kuuzwa Hapa Nchini.  
     
     
 
Siku ya Wanawake yafana Mkoani Morogoro!
 

Wafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro wakiwa na nyuso za furaha katika kusherehekea siku ya Wanawake Duniani, Sherehe hizo katika Mkoa wa Morogoro ziliadhimishwa Tarafa ya Matombo katika Wilaya ya Morogoro. Matukio Bonyeza Hapa!!

 
  ....................................................................................  
     
     
 
  Matukio Mbalimbali :  
 
       
Ziara ya Mh. Rais Morogoro
Tar. 13-15/3/2013
 
Ziara ya Waziri wa Biashara Ireland
Tar. 11/3/2013
 
Kikao cha RCC
Tar. 07/03/2013
   
     
       
 
     
     
     
Nafasi za Kazi / Ajira  
  .....................................................  
     
  .....................................................  
Zabuni na Minada  
  .....................................................  
     
  .....................................................  
V V U / UKIMWI  
  .....................................................  
 
 
  .....................................................  
Overview of ASDP Implementation in Morogoro Region  
  .....................................................  
     
  .....................................................  
     
     
     
  ENEO BINAFSI      
Hotuba za Mkuu wa Mkoa  
     
Hotuba za Katibu Tawala (M)  
   

 
 
 
 
   
 
Web Mail
Maoni
Online Training / class
Mafaili na Ujumbe
 
 
       
 

 

    ........................................................  
       
    ......................................................  
  Fursa za uwekezaji & Vivutio  
    ......................................................  
       
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, TEL: 023 - 2604237/2600973, FAX: 023 2601000